Tuesday, October 12, 2010

Kidum: My African John Legend


Although he looks like a Congolese, Kidum is Burundian based in Kenya with an excellent grasp of Kiswahili which leads me to believe he has lived here for a while. No Pun intended.

His real name is Jean Pierre Nimbona. He is my African John Legend.
 
I Gather that due to the political instability in Burundi, he came to Kenya in 1995 to continue with his talent. He joined the HOT ROD BAND in which he worked with until the year 2003.

Kidum is great because he sings to the soul. His songs seem to have a similar beat, I guess its his signature beat,

He performs at Rafikiz pub every Wednesday. Kidum’s band and his Boda Boda band along Langata Road Nairobi. Lately I’ve began appreciating his songs, I know I know i have listened to him for like 10 Wednesdays at Rafiki’s and never really appreciated his songs till now.

Some sing of love but not the mushy love songs that most peddle but subtle, check out the lyrics for my fave songs.  
Kidum and  Juliana Kanyomozi (TPF4 Judge) -  Hatutrudi Nyuma
Ukiniacha mi ntalia
ukienda zako ntabaki naumia
kama ungelijua
uoga ni lao, kukupoteza
ndio nasema, baby


Kidumu and Jay Dee - Nitafanya 

Ikiwa umeamua kunitoroka
ikiwa unahisi hujiskii nami tena
na mbona imekuwa ngumu kunidokeza
naona ni bora nilie leo, badala ya kesho
kupenda, usipende
ni kama kujitia kitanzi
nitachimba na sururu
kwa ardhi nikitafuta penzi lako
ni heri nipigwe fimbo kwa mwili
sababu ntajikuna ama ntajikanda na maji moto
maumivu ya penzi, mtu hajikuni
wala hajikandi na maji
na hakuna upasuaji

Article provided by www.kenyanlyrics.com

Ikiwa umeamua kunitoroka
ikiwa unahisi hujiskii nami tena
na mbona imekuwa ngumu kunidokeza
naona ni bora nilie leo, badala ya kesho
kupenda, usipende
ni kama kujitia kitanzi
nitachimba na sururu
kwa ardhi nikitafuta penzi lako
ni heri nipigwe fimbo kwa mwili
sababu ntajikuna ama ntajikanda na maji moto
maumivu ya penzi, mtu hajikuni
wala hajikandi na maji
na hakuna upasuaji

Kidumu  - Mapenzi
tazama, nimezama
ndani ya bahari
la penzi lako
siwezi
kusonga mbele
kurudi nyuma
sijielewi
haya mapenzi ya fujo hayafai
kama wanipenda
jaribu kunipa raha

Listen to him today n tell me is he is not the African John Legend.
tazama, nimezama
ndani ya bahari
la penzi lako
siwezi
kusonga mbele
kurudi nyuma
sijielewi
haya mapenzi ya fujo hayafai
kama wanipenda
jaribu kunipa raha

Article provided by www.kenyanlyrics.com

    tazama, nimezama
    ndani ya bahari
    la penzi lako
    siwezi
    kusonga mbele
    kurudi nyuma
    sijielewi
    haya mapenzi ya fujo hayafai
    kama wanipenda
    jaribu kunipa raha

    Article provided by www.kenyanlyrics.com

      No comments: